Loading...

Siri 3 zitakazosaidia mahusiano yako yadumu muda mrefu

PATA OFA YAKO LEO BOFYA HAPA CHINI KUJUA ZAIDI
SHARE HABARI HII NA MARAFIKI
Mahusiano mengi yamekuwa yakivunjika kwa kushindwa kudumu kwa muda mrefu kutokana na kila mtu kumchoka mwenzake. Unaweza kuwa katika uhusiano kwa muda mrefu na kamwe usichoke kumwona au kutaka zaidi kutoka kwa mpenzi wako.


Hizi ni njia tatu zinazoweza kusaidia mahusiano yako kudumu kwa muda mrefu:

Geuza mtazamo wa mapenzi

Unapaswa kutumia kila nafasi unayoipata kufanya mapenzi kama nafasi ya kumuonyesha kitu kipya mpenzi wake – Mwisho utagundua kitu kutoka kwa mpenzi wako huyo!

Jitahidi kusoma na kujifunza njia mpya kwa ajili ya kumfurahisha mpenzi wako hali itakayopelekea kumlinda mpenzi wako asitoke nje ya mahusiano yenu.

Watu wengi wamezoea kuwa mwanaume ndio kiongozi wa kila kitu, hali iliyopelekea mpaka wanawake wengi hawezi kumuambia mtu wake kuhusu kufanya ‘tendo’ mpaka mwanaume ndio aanze kusema. Hilo kwenye mapenzi ni kitu ambacho kinapaswa kuwekwa kando ili kuleta furaha kwenye mapenzi yenu.

Tafuta ushauri

Kuna mbinu nyingi ambazo wapenzi hudhani wanazijua, lakini ni njia moja ya kuhakikisha kuwa mapenzi yananoga kila siku ni kutafuta mbinu mpya na za kipekee.

Wapenzi wengi wamekuwa waoga kuomba ushauri kama kuna matatizo ndani ya mahusiano yao, hali inayopelekea mtu huvumilia matatizo hayo mpaka mwisho wake huamua kulisaliti penzi lake kwa kutafuta furaha kwa mtu mwingine.

Kwenye mapenzi siyo kila rafiki wala mtu wako wa karibu anaweza kukupa ushauri mzuri utakaokufaa – Kuna wengine watakushauri vibaya ukajutia maamuzi yako hapo mbeleni. Unaweza kuwafuata watu waliodumu kwenye mahusiano kwa muda mrefu wakiwa na furaha na kuweza kuomba ushauri kujua wamefanyaje mpaka kufikia hapo ili uweze kufikia malengo na mpenzi wako.

Jua vitu anavyovipenda/ havipendi mpenzi wako

Unapaswa kuvijua vitu ambavyo havipendi mpenzi wako ili kujiepusha na kumkwaza mara kwa mara ili hata ikitokea hivyo ujue kwa wakati huo yupo kwenye ‘mood’ gani.

Aidha wapenzi wengi wamekuwa hawa fahamu sehemu za wapenzi wao zinazowasisimua na kupandisha raha au kumfikisha ‘kileleni’. Hali hiyo imepelekea wapenzi wengi kushindwa kudumu kwa muda mrefu kwenye mahusiano yao.
Wema Sepetu Who doesn't know Wema Sepetu !..even one year old child knows who Wema is. Apparently Wema is a superstar no discussion about that. Her movies do good business, but she is highly popular for personal life and her relationships especially with superstar Diamond Platnumz is still the most talked about in the media although they parted ways in late 2014. Wema has huge fan following but her acting is very normal lets is say poor. According to her fans in and outside Tanzania, no one like Wema even in acting. But when we look at her career graph it is had to say this or that is her best performance, but she looked good in Red Valentine. In some movies Wema's voice also need to be dubbed by another actress, her voice is very choosy when it comes to characters. But we think if she becomes serious with acting she will perform well Jokate Mwegelo The so-called multi-talented Jokate has indeed performed poorly in almost all of her movies. She debuted in Fake Pastors years ago. Although the film's story was good but it's leading ladies namely Jokate and Lisa Jensen both under performed. Today Lisa is a forgotten actress while Jokate keep doing movies. She has done From China With Love, Chumo, Mikono Salama. Although she was average in Chumo but she ended up being overshadowed by Johari in From China With Love. Even we wonder how she got Best actress for Mikono Salama at ZIFF since she didn't do justice to the role !. But we can conclude that she won the award because the year's movies submitted were few. We think Jokate should stick to presenting and designing not acting. She has so poor expressions and least convincing acting.
SHARE HABARI HII NA MARAFIKI
PATA OFA YAKO LEO BOFYA HAPA CHINI KUJUA ZAIDI

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Bongo Mirror | Designed By BONGOJAMII.COM
Back To Top