Loading...

DUUH.. HII KALI ..JIONEE STAILI MPYA YA MAPENZI KWENYE MITI... NOMAAAA




WANACHUO WAFYATUA MOVIE YA NGONO WAKIWA WANAT@ANA HOSTEL HUKO IFM....UKIANGALIA LAZIMA GOBOLE LITOE .

BREAKING NEWZ,,,, VURUGU ZAZUKA NCHINI BURUNDI BAADA YA RAIS NKURUNZIZA KUTEULIWA KUGOMBEA TENA URAIS





Waandamanaji wakiwa Mjini Bujumbura.

Kumezuka ghasia katika Mji wa Bujumbura nchini Burundi kati ya maofisa wa polisi na waandamanaji wanaoishutumu serikali kwa kufanya mapinduzi ya kikatiba.

Waandamanaji walirusha mawe na kuchoma matairi huku maofisa wa polisi wakilazimika kurusha mabomu ya machozi hewani.

Ghasia hizo zinafuatia tangazo la jana kwamba Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza ameteuliwa na chama chake kuwania muhula wa tatu wa urais.

Upinzani umeitaja hatua hiyo kama ukiukaji wa katiba na kuonya kuwa huenda ikaathiri makubuliano ya amani ambayo yalimaliza miaka kadhaa ya mapigano ya kikabila.

Serikali imesema kuwa maandamano hayo si halali.

Maelfu ya raia wa Burundi wamelitoroka taifa hilo katika majuma ya hivi karibuni wakihofia kuongezeka kwa ghasia hizo huku taifa hilo likijiandaa kwa uchaguzi utakaofanyika Mwezi Juni mwaka huu.

ARSENAL, CHELSEA NGUVU SAWA



Santi Cazorla akipiga mpira uliomgonga mkononi beki wa Chelsea Gary Cahill wakati wa mechi ya leo.

Oscar wa Chelsea akikwaana na kipa wa Arsenal David Ospina wakati wa mtanange wa leo.

Kiungo wa Chelsea, Cesc Fabregas akizawadiwa kadi ya njano baada ya kujirusha akitafuta penalti.

ARSENAL na Chelsea leo zimeshindwa kutambiana katika mechi yao ya Ligi Kuu ya England iliyopigwa kwenye Uwanja wa Emirates jijini London. Mpaka mwisho wa dakika 90, Arsenal 0-0 Chelsea.

Kwa matokeo ya leo Chelsea wamefikisha pointi 77 wakiwa nafasi ya kwanza huku Arsenal wakiwa na pointi 67 katika nafasi ya tatu nyuma ya Manchester City.

VIKOSI:
Arsenal (4-2-3-1): Ospina, Bellerin, Mertesacker, Koscielny, Monreal, Coquelin (Welbeck 75), Cazorla, Ramsey, Ozil, Sanchez, Giroud (Walcott 82)

Waliokuwa benchi: Szczesny, Debuchy, Gibbs, Wilshere, Flamini

Chelsea (4-2-3-1): Courtois, Ivanovic, Cahill, Terry, Azpilicueta, Ramires, Matic, Willian (Cuadrado 90), Oscar (Drogba 46), Hazard, Fabregas (Zouma 90)

Waliokuwa benchi: Cech, Luis, Mikel, Loftus-Cheek
Newer Posts Older Posts
© Copyright Bongo Mirror | Designed By BONGOJAMII.COM
Back To Top