Loading...

Steve Nyerere aizungumzia issue ya kukosa U-DC, ‘kama ningepata Kinondoni ingekuwa poa zaidi’

Baada ya madai kuwa msanii wa filamu, Steve Nyerere alikuwa na matumaini ya kuteuliwa na Rais Dk. John Pombe Magufuli katika uteuzi wa wakuu wa wilaya (ma-DC) wapya, staa

Jerry Muro aikubali adhabu ya TFF, atoa ujumbe huu kwa mashabiki wa Yanga

Aliyekuwa afisa habari wa klabu ya Yanga Bw. Jerry Muro ameamua kukubali hukumu iliyoolewa dhidi yake na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) inayomtaka

Muongozaji wa video ya Bado na Moyo Mashine Nicrox atua Bongo kufanya video za WCB

Muongozaji wa video za wasanii kibao wa Tanzania zikiwemo Bado, Make Me Sing na Moyo Mashine, Nicrox, yupo nchini.
Nic ambaye hufanyia kazi zake Afrika Kusini ameletwa na Diamond kuja kufanya video za wasanii wa WCB

Shilole atafuta mwalimu wa kumfundisha kimombo

Fedheha kubwa zaidi inayowakumba mastaa wa wengi wa Bongo Flava ni kutokujua kuongea Kiingereza.

Twitter yamtania Museveni kwa kusimamisha msafara wake ili kuongea na simu

Rais Yoweri Museveni wa Uganda anayaoga matani ya kila aina kwenye mtandao wa Twitter baada ya picha yake akionekana akiwa anaongea na simu pembezoni mwa barabara

Mr Blue adai asilimia kubwa ya video zake alishoot bure

Dudu Baya asema bado ana nafasi ya kufanya vizuri katika muziki, anakuja na hii

Msanii wa muziki wa Hip Hop aliyewai kutamba na wimbo ‘Nakupenda Tu’ Godfrey Tumaini ‘Dudu Baya’ amefunguka kwa kusema kuwa bado ana nafasi ya kufanya vizuri zaidi katika muziki.

Martin Kadinda with trending Fashion Photos of the day

Rapper wa Malawi Tay Grin amshirikisha Vanessa Mdee

Rapper wa Malawi na staa mwenye ushawishi zaidi nchini humo, Tay Grin amemshirikisha Vanessa Mdee kwenye wimbo wake mpya.

Diamond ateuliwa na ubalozi wa UK Tanzania kuwa balozi wa vijana

Thierry Henry atangaza kuachana na The Gunners


Mchezaji wa zamani wa klabu ya Arsenal Thierry Henry ameondoka baada ya kukataa nafasi aliyopewa ya kufundisha wachezaji wa chini ya umri wa miaka 18.

Ronaldo aungana na familia yake kwenda kula bata kusherehekea ushindi

Baada ya dhiki ni faraja.

Linah ahofia kuweka wazi uhusiano wake wa mapenzi

Linah amesema hayupo tayari kuweka mahusiano yake wazi kwa sasa.
Muimbaji huyo amekiambia kipindi cha E-News cha EATV kuwa wapo watu kwenye mahusiano wanataka kujaribu penzi

Baraka The Prince with Hot Photo of the day

Tyga shares shirtless photo with Kylie Jenner

Rapper, Tyga, who is on an European tour, shared a shirtless Snapchat of himself and girlfriend Kylie Jenner cuddling him. More photos after the cut...

Najma Dattan And Barakah Da Prince Loved Up In New Shoot.

Hottest celebrity couple Najma Dattan and Barakah Da Prince looking fab in new shoot....

Funny and joke Photo of the day

Money can buy love and sex but here is what it can't buy for you in a relationship

Over a decade ago when I was still a teenager, I shared a taxi with a jolly old man with whom we had a worthwhile journey conversation. In between our conversation, the old man told me that there isn’t anything or anyone money can’t buy.
Newer Posts Older Posts
© Copyright Bongo Mirror | Designed By BONGOJAMII.COM
Back To Top