Loading...

PICHA ZOTE ZA MAZISHI YA BRIGEDIA JENERALI MBITA, JK AMLILIA


 

Mwili wa Brigedia Jenerali Hashim Mbita ukiswaliwa Msikitini.

Mwili wa Marehemu Mbita ukiingizwa kwenye gari maalum la Jeshi kwa ajili ya kupelekwa makaburi ya Kisutu Dar kwa maziko.

Safari ya kuelekea makaburini kwa ajili ya maziko ya Mbita.

Rais Mstaafu wa awamu ya tatu wa Tanzania, Benjamin William Mkapa akiwa katika jukwaa lililokuwa limeandaliwa katika Makaburi ya Kisutu.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (wa nne kushoto) akiwa katika jukwaa lililoandaliwa katika makaburi ya Kisutu.

Brasbendi ya JWTZ ikiongoza maandamano ya waombolezaji katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam.

Majenerari wastaafu (kushoto) wakiongozwa na Mnadhimu Mkuu wa JWTZ Luteni Jenerali Samweli Ndomba aliyevaa kombati wa tatu kulia.

Maafisa wa JWTZ wa vyeo vya Meja wakipeleka mwili wa Marehemu Brigedia Mbita Kaburini.

Wanajeshi wa JWTZ wakiwa kwenye paredi maalum la mazishi ya Brigedi Mbita katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam jana.

Amiri Jeshi Mkuu wa majeshi ya Ulinzi na Usalama Dkt. Jakaya Kikwete akitoka kuweka udongo kwenye kaburi la Marehemu Brigedia Mbita kama inavyoonekana pichani.

HATIMAYE mamia ya wananchi wakiongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete jana walijitokeza kumzika aliyekuwa Katibu wa Kamati ya Ukombozi kwa nchi za Kusini mwa Afrika, Brigedia Jenereli Mstaafu Hashim Mbita.

Kabla ya kuzikwa kwenye makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam, mwili wa marehemu Mbita ulifikishwa katika msikiti wa Kwa Mtoro Kariakoo kwa swala maalum ya mazishi.

Marehemu Brigedia Jenerali Hashim Mbita alizaliwa Novemba 2, 1933 katika kijiji cha Songoro, mkoani Tabora. Katika utumishi wake alishika nyadhifa mbalimbali, ikiwemo Ofisa Habari Mkuu wa Serikali mwaka 1962 hadi 1965 na mwandishi wa habari wa rais 1965 hadi 1967.

Marehemu Mbita pia enzi za uhai wake aliwahi kuwa Mwalimu wa siasa katika Chuo cha Kijeshi cha Monduli mwaka 1969 hadi 1970, Katibu wa Kamati ya Ukombozi Kusini mwa Afrika, 1972 hadi 1989 na Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe kuanzia 2003 hadi 2006. Brigedia Jenerali Hashim Mbita alifariki dunia Aprili 26 mwaka huu katika hospitali ya Jeshi ya Lugalo na alizikwa jana katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam

SOMA HII,, DIAMOND PLATINUMZ, ZARI NDANI YA POWER BREAKFAST NA CLOUDS 360 KESHO





HOT NEWS,,UNENE WAMTESA SELENA GOMEZ






Staa wa muziki wa Pop, Selena Gomez.

NEW YORK, MAREKANI

WAZUNGU bwana! Staa wa muzikiwa Pop, Selena Gomez ameendelea kuteswa na unene ulioongezeka kwa muda mfupi huku mitandao ya kijamii ikimshambulia. Staa huyo aliyekuwa mpenzi wa staa mwenzake wa muziki, Justin Bieber kupitia ukurasa wake wa Instagram, mashabiki wake wengi wameonekana kukerwa na unene huo jambo linalomnyima usingizi staa huyo.



Kabla hajaongezeka unene.

“Selena anachukizwa na watu wanaoongelea unene wake na hilo linamuweka katika wakati mgumu wa kumsikia kila mtu akimuongelea, anaumia sana,” alisema shabiki mmoja wa staa huyo.

UNAPOMSIFU MPEZI WAKO KWA UJUZI WAKE, HUJIULIZI KAUTOA WAPI..!!






Kwetu tunaamini mchawi aliyekubuhu, ni yule aliyeuwa watu wengi zaidi. Au hata ukimuona dereva anakimbiza gari barabarani unaamini ana uzoefu wa udereva wa mda mrefu na atakuwa ameshawahi kuendesha magari mbali mbali.

Sasa linapokuja swala la mahusiano, ninaona watu wanalalamika kuhusu ujuzi wa wenzi wao. Ingekuwa mimi, endapo mwenzi wangu angekuwa na kiwango kidogo cha ujuzi kwenye maswala ya chumbani, lingekuwa jambo la furaha na kheri.
Pale unapotaka mpenzi wako awe na ujuzi wa PhD katika maswala ya chumbani, wewe unataka awe amejifunzia wapi? Kama unataka mjuzi, nenda kachukue Changu doa ambaye anajua michezo yote...
Dada zetu waliofunzwa wakatulia, na kaka zetu au wadogo zetu waliofunzwa wakatulia technically watakuwa na ujuzi mdogo na over the time katika maisha yao ya mahusiano (ndoa) wataweza kujifunza na kuimprove.

Ukimpata yule anayekupeleka puta, inabidi ukae chini na ujiulize atakuwa amewapitia au amepitiwa na wangapi mpaka akapata utaaalam huo?

BARUA NZITO: WASTARA AOMBA RADHI‭, WAMUONYA KU‬BADILI MWELELEKEO !‬




Wastara Juma

KWAKO mwanamke unayejua kuuvaa vyema uhusika katika sinema za Kibongo, Wastara Juma. Za siku nyingi? Uko poa mama!&ke?

Ukitaka kujua afya yangu mimi ni mzima wa afya, naendelea na mishemishe zangu za kila siku kuhakikisha mkono unakwenda kinywani. Nimekukumbuka hapa leo maana ni kitambo kidogo hatujaonana. Nikaona ni vizuri kukuandikia barua.

Dhumuni la barua hii ni kwanza kutaka kukukumbusha juu ya heshima niliyokuwa nakupa. Nilikuwa nakuheshimu kama mama wa watoto wawili, mtu mzima mwenye busara za kutosha.

Kwa levo ya heshima niliyokuwa nakupa, sikuwahi kuwa na shaka kwamba labda kuna siku unaweza ukabadilika. Niliamini kadiri siku zilivyozidi kusonga ndivyo busara zaidi zingeendelea kujaa katika kichwa chako.

Nilikuheshimu kama mama jasiri sana. Historia ya maisha yako inaonesha umepitia mitihani mingi, kwa namna ambavyo umepambana na kuvuka viunzi hivyo, hakuna ambaye anaweza kuwa na shaka na wewe zaidi ya kukupongeza na kukuona ni mfano wa kuigwa.

Ulipambana sana kutetea uhai wa mumeo hadi pale Mungu alipomchukua. Nikwambie Watanzania walikupa heshima ya juu. Mimi mwenyewe nilikuheshimu sana. Sikuwahi kutarajia kama siku moja unaweza kushusha heshima yako kirahisi kama wafanyavyo baadhi ya wasanii.

Sikuwahi kuwaza kama kuna siku ninaweza kukuona umevaa mavazi ya ajabu kama wafanyavyo baadhi ya wenzako, achilia mbali ulevi wa kupindukia.

Niliamini wewe ndiye mtu wa kukemea wenzako wanaotoka nje ya mstari wa kujiheshimu.

Licha ya kukuheshimu huko kwa muda mrefu, juzikati ulifanya tukio ambalo nilipoliona, akili yangu ilishindwa kuamini kama ni wewe yule ninayekuheshimu. Nazungumzia matusi mazito uliyoyaporomosha kwenye mtandao wa Instagram.

Ulimtukana mmoja wa mashabiki wako matusi mazito ya nguoni. Najua kabisa kwamba alikuudhi na kama binadamu unakasirika, lakini siku zote kabla ya kufanya jambo lolote lazima kwanza uangalie nafasi yako katika jamii.

Huwezi kumuona chizi anakutukana eti na wewe ukamtukana ili kumkomoa. Mwenye busara na hekima, akitukanwa na chizi, hukaa kimya na mwisho wa siku watu hubaini nani ni chizi!

Kwa matusi uliyomlipizia yule shabiki wako, waungwana walikujadili wewe uliyejibu badala ya shabiki wako.

Walikuona hukutumia busara. Kwa nafasi yako katika jamii, ukisema umjibu kila atakayekutukana, utawatukana wangapi? Jamii nayo itakuelewaje?

Nikuambie tu dada yangu hukufanya kitu kizuri hata kidogo, wewe ni staa mwenye heshima kubwa, huwezi kutukana matusi mazito kiasi kile hadharani, tena kwenye akaunti yako ambayo unaitumia kufanya biashara mbalimbali.

Binafsi tangu siku ile niliposoma posti yako nilijisikia vibaya, sikutegemea. Ningekushauri, ili kurejesha heshima yako, omba radhi na kubadilika. Kwa leo ni hayo tu.

Wasalaam

FAMILIA WASHAMBULIA DIAMOND ,,,,,TUNASHAKA NA MIMBA YA ZARI



SHAKA! Familia ya ‘President’ wa Kruu ya Wasafi, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ imeamua kuweka kikao kummbana staa huyo aweke wazi kama ni kweli ana uhakika mimba aliyonayo mjasiriamali Zarinah Hassan ‘Zari’ ni ya kwake au magumashi, Risasi Mchanganyiko linakupa mchapo kamili.

Diamond Platnumz akibusu tumbo la mpenzi wake Zari.

TUJIUNGE NA CHANZO

Kwa mujibu wa chanzo kilicho karibu na familia ya staa huyo, ndugu wa karibu akiwemo mama, binamu yake Romy Jons, wajomba zake, mameneja na marafiki wa karibu wa familia, waliamua kuweka kikao hicho usiku hivi karibuni ili Diamond athibitishe kama kweli kiumbe kinachoripotiwa kuwa ni cha kwake magazetini ni chake kweli.

Diamond akiwa katika pozi na mpenzi wake Zari.

“Ndugu walichachamaa, walitaka kujua kama kweli mimba inamhusu Diamond au ni magumashi ya kiki za vyombo vya habari.

“Kwenye hicho kikao walimualika na Diamond mwenyewe ili aweze kufunguka kama ana uhakika kweli mimba ni yake,” kilisema chanzo hicho

WALITAKA ATOE MSIMAMO

“Mbali na kutaka kujua kama mimba ni yake, walitaka pia kujua ana msimamo gani na Zari maana kila kukicha wanasikia mambo tofauti katika mitandao na vyombo vya habari,’’ kilisema chanzo hicho.

SABABU ZAZIDI KUANIKWA

Chanzo hicho kilipobanwa na mwanahabari wetu kuhusiana na sababu zilizowafanya ndugu wa Diamond watilie shaka mimba hiyo, kilisema ni kauli ambazo ziliwahi kusemwa na aliyekuwa mpenzi wake Penniel Mungilwa ‘Penny’ na aliyekuwa mume wa Zari, Ivan Semwanga.

“Walishitushwa na kauli ambayo aliwahi kuitoa Penny kwamba Diamond hana uwezo wa kumpa mwanamke mimba lakini kama hiyo haitoshi, waliitafakari kauli ya mume wa Zari ambaye alidai Zari hawezi kumzalia Diamond ndiyo maana wakataka wapate uhakika,” kilisema chanzo hicho.

MUAFAKA WA KIKAO

Chanzo hicho kikizidi kumwaga ubuyu mbele ya kinasa sauti cha Risasi Mchanganyiko kwamba, baada ya Diamond kubanwa na nduguze, alithibitisha kuwa Zari ndiyo kila kitu kwake kwa sasa, hivyo wasiwe na shaka yoyote juu ya kiumbe kinachotarajiwa kuzaliwa.

“Diamond aliwahakikishia kwamba mzigo ni wake, na msimamo wake ni kufika katika hatua ya ndoa Mungu akijalia.

KUMVISHA PETE

“Kuonesha yupo serious baada ya Diamond kuwatoa hofu ndugu zake, alisema atafanya sapraiz siku ya Mei Mosi katika shoo ya mrembo huyo, All White Party itakayofanyika kwenye Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar,” kilisema chanzo hicho na kudokeza kuwa Diamond atamvisha pete mrembo huyo.



DIAMOND AFUNGUKA

Ili kuweza kupata ukweli, mwanahabari wetu alimtafuta Diamond ili aweze kuweka wazi juu ya kikao hicho na kama ni kweli anatarajia kumvisha pete Zari. Diamond alifunguka:

“Yeah ni kweli ndugu zangu walikuwa na shaka lakini nimewahakikishia kwamba kiumbe kilichomo tumboni mwa Zari ni mali yangu, kuhusu kumvisha pete ni mapema kidogo kulizungumzia lakini watu wahudhurie kwa wingi katika shoo ya Zari White Party Ijumaa hii pale Mlimani City kwani nimeandaa sapraizi nyingi sana.

“Mei Mosi itakuwa ni siku ya kihistoria sana kwake kwani kuna mambo muhimu mengi natarajia kumfanyia mpenzi wangu Zari, watu watajua rasmi nia yangu kwa Zari maana ni mwanamke ambaye ameamua kujitoa kwa ajili yangu, hivyo sina budi kumuonesha upendo stahiki, nitafanya kila linalowezekana kumuonyesha namna gani nampenda.”

SHOO YA KIHISTORIA

Kwenye shoo hiyo ya Zari, watu mbalimbali mashuhuri wanatarajiwa kuhudhuria akiwemo dairekta mkubwa Afrika, Godfather wa Afrika Kusini na Top Ten ya Washiriki wa Shindano la Big Brother ‘Hot Shot’ 2014.

FANYA HAYA..!! UNAPOTOKEA KUMPENDA MTU ALIYE NA MPENZI WAKE






Tumshukuru Mwenyezi Mungu ambaye ametuwezesha kuonana tena wiki hii tukiwa wazima. Lakini pia tumshukuru kwa kutuletea kitu kinachoitwa mapenzi.
Mapenzi yamekuwa yakichukua nafasi kubwa sana katika maisha yetu ya kila siku na yamekuwa yakichangia kwa kiasi kikubwa furaha kwa kila mtu.
Kama huamini, angalia wale waliotokea kupenda na wao wakapendwa, utabaini nyuso zao zimetawaliwa na furaha isiyo na kifani. Lakini mapenzi hayo hayo yamekuwa ni chanzo cha vilio kwa baadhi ya watu.
Mpenzi msomaji wangu, kupenda hakuna macho! Moyo ukishapenda hausikii la kuambiwa. Katika hili ndiyo maana unaweza kumuona mwanaume kazimika kwa demu ambaye hawaendani kabisa lakini moyo wake ndiyo umeshapenda.
Ilishawahi kutokea msichana akampenda kijana mmoja ambaye ni fukara kupita maelezo. Yeye akawa ndiyo anamhudumia kwa kila kitu. Akamfanyia mpango wa ajira na mwisho wake wakafunga ndoa.
Sasa hivi wanaishi maisha ya furaha na amani. Wamegeuka mfano wa kuigwa kwa jinsi wanavyopendana lakini huko nyuma msichana huyo alikuwa akichekwa kwa kutoa penzi kwa mwanaume asiye na mbele wala nyuma.
Hayo ndiyo mapenzi jamani! Lakini pia katika kufurukuta kumtafuta mpenzi wa kuwa naye maishani, mwanaume anaweza kujikuta unaangukia kwa demu ambaye tayari ana mpenzi wake.
Moyo wako unakuambia yeye ndiye mtu sahihi katika maisha yako lakini tayari ana mtu wake, unafanyaje?
Utapambana kuhakikisha unapata kile ambacho moyo wako umekipenda au utakubaliana na ukweli kwamba huwezi kuwa naye kwa kuwa ana mtu wake? Inapofikia hatua hiyo unaweza kujikuta upo njia panda hasa pale ambapo huyo mwenye mtu wake naye anaonesha kuwa na chembechembe za mapenzi kwako. Kuna mambo kadhaa ya kukusaidia kukabiliana na hali hii.
Chunguza Tumia muda wako mwingi kuchunguza juu ya uhusiano wake. Uhusiano wao umesimama na wanaonekana ni watu wenye ‘future’? Nasema hivyo kwa sababu, yawezekana uhusiano wa huyo uliyetokea kumpenda ni wa kuzuga tu na huenda wewe ndiye mwenye ‘future’ naye. Ndiyo maana nikasema chunguza uhusiano wake kwanza.
Usitafute uadui Baada ya kuchunguza, ukibaini kwamba uhusiano wao hauko ‘siriasi’, vuta subira, lolote linaweza kutokea na likaufurahisha moyo wako. Lakini kama utaona ni watu walio siriasi na wanaelekea kuoana, usitafute uadui bure, kaa pembeni.
Una nafasi kwake? Sawa umetokea kumpenda msichana aliye na mtu wake, umeshawahi kujiuliza kama una nafasi ndani ya moyo wake? Anaonesha dalili fulani za kukupenda kama unavyompenda na ni mtu anayeonesha kukumisi anapokuwa mbali na wewe? Utakapobaini una nafasi kwake, uamuzi wa kumpotezea hautakuwa na nafasi.
Ni rahisi kubadili uamuzi wake? Unadhani huyo uliyetokea kumpenda anaweza kubadili maamuzi ya kumuacha huyo aliyenaye kama kweli hawana ‘future’? Utagundua hilo kwa kuongea naye na kumsikia kama anaweza kufanya maamuzi hayo ili awe na wewe.
Pingana na moyo wako Ifike wakati upingane na moyo wako. Unajua moyo wako kukuambia kuwa unataka kuwa na uhusiano na demu ambaye tayari ana mpenzi wake wakati mwingine utakuwa unakupotosha.
Kwa hiyo ukiona vipi, pingana nao. Acha kumng’ang’ania msichana mwenye mpenzi wake licha ya ukweli kwamba, huenda wewe ndiye mwenye nafasi ya kuwa mume wake na siyo huyo aliye naye.
Urafiki ni poa? Umempenda sana na hauko tayari kumkosa katika maisha yako lakini imetokea kwamba tayari yuko na mtu na umebaini huna nafasi kwake kabisa? Usiumie, omba angalau urafiki. Siyo urafiki wa kivile sana ila angalau pale unapotaka kusikia sauti yake kwa kumsalimia tu, upate nafasi hiyo.
Usiumie, yupo mwingine Haina haja ya kujitafutia vidonda vya tumbo bure kwa kuwa tu umebaini uliyetokea kumpenda tayari ana mtu. Chukulia ni hali ya kawaida, mademu wazuri ambao wanaishi singo wapo kibao huko mtaani, ni suala la wewe kutulia tu. Amini yupo mwingine ambaye atayafanya maisha yako yawe ya furaha.
Naomba nihitimishe kwa kusema kwamba, unapotokea kumpenda mtu fulani, pambana kuhakikisha unampata kwa sababu ukimkosa maisha yako yanaweza kuwa gizani. Ila pale utakapoona uwezekano wa kuwa naye haupo, usilazimishe ndugu yangu. Kumbuka haya ni maisha tu!

UKATILI ULIOJE! WAZAZI WAMPIGA, WAMFUNGA KAMBA MTOTO WAO, WAMFUNGIA NDANI


Katika hali inayoonyesha ukatili wa ajabu, mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la Asha Mohamed, akishirikiana na mumewe, walimfunga kamba miguu na mikono mwanaye wa kumzaa Salum Mohamed (9) na kumfungia ndani ya nyumba yake huku wenyewe wakienda kusikojulikana muda mrefu Jumatatu iliyopita huko Mkundi, nje kidogo ya mji wa Morogoro.

Polisi wakimfungua kamba mtoto huyo alizokua amefungwa na wazazi wake.

Tukio hilo la kusikitisha lilifanyika ikiwa ni adhabu ya mtoto huyo kutokana kosa la kuchana chandarua kwa miguu, kitendo alichokifanya usiku wa Jumapili, ambako licha ya kupigwa kwa zaidi ya saa mbili mfululizo, pia alinyimwa chakula na hivyo kulala na njaa.

Polisi wakiwa wamembeba mtoto huyo.

Kwa mujibu wa majirani, Asha na mumewe ambaye ni baba wa kambo wa mtoto huyo, wamekuwa na tabia ya kumtesa, kitendo ambacho awali, kiliwahi kumfanya atoroke nyumbani hapo kukimbilia mjini kwa bibi yake, umbali wa zaidi ya kilomita kumi

Mama mzazi wa mtoto huyo aliefahamika kwa jina la Asha Mohamedi.

Kwa mujibu wa majirani Mwanamke huyo na mumewe kwa muda mrefu walikuwa wakimfanyia vitendo vya kikatili mtoto huyo”kuna wakati mtoto huyu aliamua kutembea kwa kwa miguu kutoka hapa mkundi mpaka mjini kwa bibi yake umbali wa kilomita 10.

Waandishi wa habari wakifanya mahojiano na mtoto huyo baada ya kufunguliwa kamba.

“Wazazi wake jana majira ya saa 3 mpaka saa 5 usiku walimpiga sana huyu mtoto, cha ajabu asubuhi walimfunga kamba na kumfungia kwa nje na kufuli kubwa na wenyewe kwenda kwenye shughuli zao, alishindwa kwenda shule, tulipomuuliza kupitia dirishani, alisema alipewa adhabu hiyo baada ya kuchana chandarua, kwa uchungu tukaamua kutoa taarifa kwako,” alisema Mage Luzimamu, mmoja wa majirani.

Baada ya mwandishi kupata taarifa hizo aliwasiliana na Jeshi la Polisi ambapo askari walienda hadi ilipo nyumba hiyo na kulazimika kuvunja mlango na baadaye kumfungua mtoto huyo na kuondoka naye. Mama mzazi alipatikana na kukiri kuhusika na tukio hilo, ambapo alijitetea kuwa alimfunga kamba kama sehemu ya adhabu na siyo mateso.

Mume wa mama huyo alikimbia baada ya kusikia taarifa za kusakwa kwake lakini Polisi wamesema watamtafuta hadi wamtie mbaroni.

MKE ACHINJWA KISA KWENDA SALUNI



Stori: Dege Masoli, Tanga

HII ni zaidi ya ukatili! Jiji la Tanga bado linazizima kufuatia mauaji ya kutisha yanayodaiwa kufanywa na mwanaume aitwaye Khalfan Hamad (46), dhidi ya mkewe, Mary Lucas (20) kwa kumchinja na panga kisa kikidaiwa ni wivu wa mapenzi, Uwazi lina mkasa mzima.

Enzi za uhai wake, Mary Lucas (20) anaedaiwa kuchinjwa na mumewe.


Tukio hilo lililoacha simulizi ya kushangaza miongoni mwa wanandoa na wanaotarajia kuingia, lilijiri Aprili 18, mwaka huu nyumbani kwa mwanaume huyo, Mtaa wa Mapinduzi ‘A’ Kata ya Duga jijini hapa.

WANACHOKIJUA POLISI WA TANGA

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, ACP Zuberi Mwombeki alitangaza kwa waandishi wa habari kwamba, mauaji hayo yalitokea saa nne na nusu asubuhi ya Aprili 18 mwaka huu.

Alisema chanzo cha tukio hilo ni wivu wa kimapenzi kati ya wawili hao ambapo marehemu alimuomba mumewe pesa kiasi cha shilingi elfu kumi aende saluni kutengeneza nywele lakini mwanaume akasema hana.

“Mwanaume hakumpa pesa marehemu lakini baadaye alimkuta amesuka na ndipo ugomvi ulipoanzia hapo hadi kutokea mauaji hayo,” alieleza kamanda huyo.

UWAZI LAANZA NA MAJIRANI

Mengi yamesemwa kufuatia mauaji hayo, lakini kama kawaida ya Gazeti la Uwazi ni kufuatilia kwa kina ili kujua chanzo cha kila habari inayotakiwa kuandikwa gazetini.

Ili kujua nini kilitokea kabla na baada ya mauaji hayo, Uwazi lilizungumza na baadhi ya majirani wa nyumbani kwa mtuhumiwa huyo ambaye kwa sasa anashikiliwa na polisi chini ya ulinzi mkali.

“Jamani sisi wenyewe tumeshtuka sana kwa kifo cha Mary, mimi nimeongea naye akiwa anakwenda saluni na hata aliporudi. Kama angejua ndiyo siku yake ya kufa naamini asingekwenda. Inauma sana!

“Mary alitoka saluni akiwa amependeza maana alitengenezwa nywele vizuri sana. Mimi mwenyewe nilimsifia. Kufika nyumbani kwake, mzozo ukaanza.

“Mumewe alitaka kujua alikotoa shilingi elfu kumi ya kuendea saluni maana yeye hakumpa. Mzozo ulikwenda hadi mwanaume akachukua panga na kumchinja. Naamini ni wivu,” alisema jirani mmoja.

KUMBE WALIKUWA NA HISTORIA YA UGOMVI

Jirani mwingine, Shaban Juma yeye alisema: “Hawa watu wameishi katika hali ya kutoelewana na walikuwa wakigombana kila wakati, lakini hatukujua kama litatokea hili kwani mara zote katika kugombana kwao, mwanaume ndiye aliyekuwa akipigwa jambo ambalo liliwafanya watu wa karibu yake kumshauri kuvunja uhusiano wao kulikoni aibu ya kupigwa na mke.”

Jennifer Charles yeye pia ni jirani, alisema: “Siku ya tukio Mary alimwomba mumewe hela ya kwenda kutengeneza nywele saluni lakini mume hakuwa na pesa siku hiyo lakini baada ya kuondoka nyumbani, marehemu naye alikwenda saluni.

“Baadaye mume aliporudi nyumbani hakumkuta Mary lakini mara alirudi akiwa ametengenezwa nywele jambo lililomfanya bwana kuhisi kuwa fedha hizo amehongwa na mwanaume mwingine tofauti na yeye na hivyo kuzuka ugomvi huo.”

MUME ALITOKA NJE AKITAMBA KUUA

Baada ya Jennifer kumaliza kusimulia hayo, Juma Ally, naye ni jirani, akaendeleza: “Hatukujua kilichoendelea katika mzozo wao, lakini baadaye ukimya ulitawala. Muda mfupi mbele mume alitoka nje na kutuambia kwamba ameshaua huko ndani kwani amechoka kupigwa na sasa amejibu mapigo.

“Kwanza tulijua anatutania lakini tulivyoona kimya kimezidi tukaamua kuingia ndipo

tulipomkuta marehemu akiwa chini, akitoka damu nyingi. Tuliogopa kwa kweli. Mary mrembo tunayemjua sisi, amelala chini na damu chapachapa.

“Alikuwa ana majeraha makubwa sehemu ya shingo na kichwani yaliyotokana na kupigwa na panga. Ilionekana panga lilikuwa kali sana na panga lenyewe lilikuwa pembeni yake. Ndipo tulipoamua kumkimbiza Hospitali ya Mkoa, Bombo ambapo alipoteza maisha wakati madaktari wakihangaika kuokoa uhai wake.”

ASINGEKUFA MKE

Naye, Fatuma Ramadhani alisema kutokana na ugomvi wa mara kwa mara kati ya wawili hao na mwanaume kupigwa kila wakati, majirani waliamini siku moja mume huyo ndiye angekuja kupata madhara hata kufa kutokana na alivyokuwa akipigwa.

MTUHUMIWA KUPANDA MAHAKAMANI WAKATI WOWOTE

Kamanda Mwombeki alisema upelelezi unaendelea ili kuweza kumfikisha mahakamani mtuhumiwa huyo. Marehemu Mary alizikwa katika eneo la Mwakizaro jijini Tanga, siku ya pili baada ya tukio hilo la kuhuzunisha

ANGALIA VIDEO MPYA ILIYOJAA STAILI MPYAA FULL MAUTAMUUU



DUUH.. HII KALI ..JIONEE STAILI MPYA YA MAPENZI KWENYE MITI... NOMAAAA




WANACHUO WAFYATUA MOVIE YA NGONO WAKIWA WANAT@ANA HOSTEL HUKO IFM....UKIANGALIA LAZIMA GOBOLE LITOE .

BREAKING NEWZ,,,, VURUGU ZAZUKA NCHINI BURUNDI BAADA YA RAIS NKURUNZIZA KUTEULIWA KUGOMBEA TENA URAIS





Waandamanaji wakiwa Mjini Bujumbura.

Kumezuka ghasia katika Mji wa Bujumbura nchini Burundi kati ya maofisa wa polisi na waandamanaji wanaoishutumu serikali kwa kufanya mapinduzi ya kikatiba.

Waandamanaji walirusha mawe na kuchoma matairi huku maofisa wa polisi wakilazimika kurusha mabomu ya machozi hewani.

Ghasia hizo zinafuatia tangazo la jana kwamba Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza ameteuliwa na chama chake kuwania muhula wa tatu wa urais.

Upinzani umeitaja hatua hiyo kama ukiukaji wa katiba na kuonya kuwa huenda ikaathiri makubuliano ya amani ambayo yalimaliza miaka kadhaa ya mapigano ya kikabila.

Serikali imesema kuwa maandamano hayo si halali.

Maelfu ya raia wa Burundi wamelitoroka taifa hilo katika majuma ya hivi karibuni wakihofia kuongezeka kwa ghasia hizo huku taifa hilo likijiandaa kwa uchaguzi utakaofanyika Mwezi Juni mwaka huu.

ARSENAL, CHELSEA NGUVU SAWA



Santi Cazorla akipiga mpira uliomgonga mkononi beki wa Chelsea Gary Cahill wakati wa mechi ya leo.

Oscar wa Chelsea akikwaana na kipa wa Arsenal David Ospina wakati wa mtanange wa leo.

Kiungo wa Chelsea, Cesc Fabregas akizawadiwa kadi ya njano baada ya kujirusha akitafuta penalti.

ARSENAL na Chelsea leo zimeshindwa kutambiana katika mechi yao ya Ligi Kuu ya England iliyopigwa kwenye Uwanja wa Emirates jijini London. Mpaka mwisho wa dakika 90, Arsenal 0-0 Chelsea.

Kwa matokeo ya leo Chelsea wamefikisha pointi 77 wakiwa nafasi ya kwanza huku Arsenal wakiwa na pointi 67 katika nafasi ya tatu nyuma ya Manchester City.

VIKOSI:
Arsenal (4-2-3-1): Ospina, Bellerin, Mertesacker, Koscielny, Monreal, Coquelin (Welbeck 75), Cazorla, Ramsey, Ozil, Sanchez, Giroud (Walcott 82)

Waliokuwa benchi: Szczesny, Debuchy, Gibbs, Wilshere, Flamini

Chelsea (4-2-3-1): Courtois, Ivanovic, Cahill, Terry, Azpilicueta, Ramires, Matic, Willian (Cuadrado 90), Oscar (Drogba 46), Hazard, Fabregas (Zouma 90)

Waliokuwa benchi: Cech, Luis, Mikel, Loftus-Cheek
Newer Posts Older Posts
© Copyright Bongo Mirror | Designed By BONGOJAMII.COM
Back To Top