Loading...

Picha ya Rais Zuma akimbusu msichana huyu yawa gumzo SA

Picha ya msichana akimbusu Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma imezua utata nchini humo.

Clouds Television launch Fiesta 2016 Tigo Ft Prime time Promotion

Funny and Joke Photo of the day;When your girl pays more attention to her make up brush than you

Man Utd nambari tano kwa utajiri duniani

Klabu ya Manchester United ya nchini Uingereza imeorodheshwa ya tano kwa utajiri duniani na jarida la Forbes, thamani yao ikiwa imepanda kwa asilimia saba.

Maisha ya Yacht: Cristiano Ronaldo, mama yake na mwanae wala bata Ibiza (Picha)

\Baada ya ushindi kinachofuata ni kusherehekea. Na hakuna sherehe nzuri kama unapomchukua mama yako mzazi na mwanao kuwapeleka kwenye kisiwa cha raha duniani, Ibiza, Hispania.

Kobe Bryant na mkewe watarajia kupata mtoto wa tatu

Mchezaji kikapu mstaafu wa timu ya Lakers, Kobe Bryant na mkewe, Vanessa wameweka wazi kuwa wanatarajia kupata mtoto wa tatu.

Waziri Mkuu mpya wa Uingereza atangaza baraza lake jipya la mawaziri

Waziri mkuu mpya wa Uingereza, Theresa May amemteua Boris Johnson kuwa waziri wa Mambo ya Nje na Philip Hammond kuwa Waziri wa Fedha wa nchi hiyo.

Ni kweli najiuza, lakini Nay si type yangu – Gigy Money

Gigy Money amedai kuwa lisemwalo lipo kuwa yeye ni msichana anayejiuza, lakini Nay wa Mitego si mwanaume wa type yake.
Wawili hao wamekuwa wakirushiana vijembe tangu Gigy amshutumu Nay kwa kutomlipa ujira wake baada

Steve Nyerere aizungumzia issue ya kukosa U-DC, ‘kama ningepata Kinondoni ingekuwa poa zaidi’

Baada ya madai kuwa msanii wa filamu, Steve Nyerere alikuwa na matumaini ya kuteuliwa na Rais Dk. John Pombe Magufuli katika uteuzi wa wakuu wa wilaya (ma-DC) wapya, staa

Jerry Muro aikubali adhabu ya TFF, atoa ujumbe huu kwa mashabiki wa Yanga

Aliyekuwa afisa habari wa klabu ya Yanga Bw. Jerry Muro ameamua kukubali hukumu iliyoolewa dhidi yake na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) inayomtaka

Muongozaji wa video ya Bado na Moyo Mashine Nicrox atua Bongo kufanya video za WCB

Muongozaji wa video za wasanii kibao wa Tanzania zikiwemo Bado, Make Me Sing na Moyo Mashine, Nicrox, yupo nchini.
Nic ambaye hufanyia kazi zake Afrika Kusini ameletwa na Diamond kuja kufanya video za wasanii wa WCB

Shilole atafuta mwalimu wa kumfundisha kimombo

Fedheha kubwa zaidi inayowakumba mastaa wa wengi wa Bongo Flava ni kutokujua kuongea Kiingereza.

Twitter yamtania Museveni kwa kusimamisha msafara wake ili kuongea na simu

Rais Yoweri Museveni wa Uganda anayaoga matani ya kila aina kwenye mtandao wa Twitter baada ya picha yake akionekana akiwa anaongea na simu pembezoni mwa barabara

Mr Blue adai asilimia kubwa ya video zake alishoot bure

Dudu Baya asema bado ana nafasi ya kufanya vizuri katika muziki, anakuja na hii

Msanii wa muziki wa Hip Hop aliyewai kutamba na wimbo ‘Nakupenda Tu’ Godfrey Tumaini ‘Dudu Baya’ amefunguka kwa kusema kuwa bado ana nafasi ya kufanya vizuri zaidi katika muziki.

Martin Kadinda with trending Fashion Photos of the day

Rapper wa Malawi Tay Grin amshirikisha Vanessa Mdee

Rapper wa Malawi na staa mwenye ushawishi zaidi nchini humo, Tay Grin amemshirikisha Vanessa Mdee kwenye wimbo wake mpya.

Diamond ateuliwa na ubalozi wa UK Tanzania kuwa balozi wa vijana

Thierry Henry atangaza kuachana na The Gunners


Mchezaji wa zamani wa klabu ya Arsenal Thierry Henry ameondoka baada ya kukataa nafasi aliyopewa ya kufundisha wachezaji wa chini ya umri wa miaka 18.

Ronaldo aungana na familia yake kwenda kula bata kusherehekea ushindi

Baada ya dhiki ni faraja.
Newer Posts Older Posts
© Copyright Bongo Mirror | Designed By BONGOJAMII.COM
Back To Top