Mbunge wa Bukoba Mjini kwa tiketi ya CCM, Khamis Kagasheki amemtuhumu Waziri Mkuu Mizengo Pinda kuwa ndiye aliyekuza mgogoro wa Bukoba uliosababisha madiwani wa halmashauri kushindwa kufanya vikao, akidai kuwa mtendaji huyo mkuu wa Serikali ameshindwa...
Loading...
Home » Archives for 02/01/15
AJALI MBAYA YATOKEA KIHESA IRINGA WATU WATATU WAFA NA KUWAKA MOTO

Ajali mbaya imetokea huu wa usiku Mjini Iringa eneo la kihesa Kilolo baada ya watu watatu waliokuwa kwenye bodaboda kugongana na lori aina ya fuso iliyokuwa inatoka mjini Iringa kuelekea Dodoma ktk barabara ya Iringa -Dodoma na wote watatu wamekufa...
Haya Ndio Maisha aliyopitia Mh January Makamba Toka Anazaliwa Mpaka Hapo Alipofikia!

Nilizaliwa tarehe 28 Januari 1974 mjini Singida, kwa Bi. Josephine Joseph na Bwana Yusuf Makamba. Mwaka 1978, nilipelekwa kuishi kijijini kwa bibi mzaa mama Kyaka, Kagera wakati mama ameenda kuendelea na masomo ya uuguzi. Kijijini kwetu ilikuwa umbali...