Asasi 3 zisizo za kiserikali leo zimetoa elimu kwa waandishi wa habari mkoani Ruvuma juu ya uelewa wa uchimbaji wa madini ya urani. Asasi hizo ni Caritas, MVIWATA Ruvuma na TMMTF.
Elimu iliyotolewa kwa waandishi hao wa habari ni kuimarisha elimu ya ushawishi kwa jamii katika faida na madhara ya madini ya urani, pia utafiti wa kisayansi ili kuainisha faida na madhara ya urani kwa binadamu na mazingira.
Katika semina hiyo uchimbaji wa madini umeonekana kuwa na madhara zaidi kuliko faidi kwa Watanzania. Habari zaidi itawajia muda mfupi.

Mr. Martine kutoka Ujerumani ni mmoja kati ya watoa mada

Mr. Martine na Mr. Mahundi wakujadiliana

Mr. Mahundi akitoa mada juu ya uandishi wa habari za kiuchunguzi

Ally Mzava kutoka CESOPE Dodoma akitoa mada juu ya uzoefu wa kuelimisha wananchi kuhusu athari za madini ya urani

Mr. Jeremia Araka mhadhiri wa chuo kikuu AJUCO akitoa mada juu ya misingi na maadili ya uandishi bora wa habari

Mr. Brito Mgaya akiwasilisha moja ya mada juu ya athari za madini ya urani

Mwandishi wa habari wa RFA Ngahyona Nkondora akiuliza swali kwa watoa mada

Joyce Kalinga mwakilishi wa TMMTF

Mwambije mwandishi wa habari wa ITV

Nathan Mtega - ITV

Gideon Mwakanosya - NIPASHE

Tamimu Gillo - Radio Jogoo Songea

Geofrey Nilai - Radio Maria


Waandishi wa Habari wakimfuatilia kwa makini mtoa mada

Mr. Yazidu Athuman mkazi wa Namtumbo jirani na mgodi wa urani akielezea kwa uchungu athari walizoanza kupata kabla uchimbaji haujaanza

Waalamu wa asasi zilizoandaa semina kwa waandishi wa habari wakifanya tathimini ya semina

Waandishi wa habari wakifanya tathimini ya semina
Elimu iliyotolewa kwa waandishi hao wa habari ni kuimarisha elimu ya ushawishi kwa jamii katika faida na madhara ya madini ya urani, pia utafiti wa kisayansi ili kuainisha faida na madhara ya urani kwa binadamu na mazingira.
Katika semina hiyo uchimbaji wa madini umeonekana kuwa na madhara zaidi kuliko faidi kwa Watanzania. Habari zaidi itawajia muda mfupi.

Mr. Martine kutoka Ujerumani ni mmoja kati ya watoa mada

Mr. Martine na Mr. Mahundi wakujadiliana

Mr. Mahundi akitoa mada juu ya uandishi wa habari za kiuchunguzi

Ally Mzava kutoka CESOPE Dodoma akitoa mada juu ya uzoefu wa kuelimisha wananchi kuhusu athari za madini ya urani

Mr. Jeremia Araka mhadhiri wa chuo kikuu AJUCO akitoa mada juu ya misingi na maadili ya uandishi bora wa habari

Mr. Brito Mgaya akiwasilisha moja ya mada juu ya athari za madini ya urani

Mwandishi wa habari wa RFA Ngahyona Nkondora akiuliza swali kwa watoa mada

Joyce Kalinga mwakilishi wa TMMTF

Mwambije mwandishi wa habari wa ITV

Nathan Mtega - ITV

Gideon Mwakanosya - NIPASHE

Tamimu Gillo - Radio Jogoo Songea

Geofrey Nilai - Radio Maria


Waandishi wa Habari wakimfuatilia kwa makini mtoa mada

Mr. Yazidu Athuman mkazi wa Namtumbo jirani na mgodi wa urani akielezea kwa uchungu athari walizoanza kupata kabla uchimbaji haujaanza

Waalamu wa asasi zilizoandaa semina kwa waandishi wa habari wakifanya tathimini ya semina

Waandishi wa habari wakifanya tathimini ya semina